Nyumba 17 za anguka na familia 10 kukosa makazi katika kijiji cha Iwelyamvula wilaya ya Sumbwanga mkoani Rukwa
Nyumba 17 zimeanguka katika kijiji cha
Iwelyamvula kata ya Kapenta wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa baada ya mvua
kubwa kunyesha na kusababisha famila 10 kukosa makazi.
Mkuu wa wilaya hiyo Nyakia Chirukile amewatembelea waathirika wa maafa hayo na kuwataka wananachi kupanda miti kunzuka maeneo ya makazi kuepuka matukio hayo kujirudia
Comments
Post a Comment