Mkuu
wa wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa Tano Mwela amewataka wananchi wilayani humo kujitokeza kupata chanjo ya polio kwa watoto
chini ya umri wa miaka 5 ambayo inatarajiwa kufanyika nyumba kwa nyumba katika vijiji 111 vya wilaya hiyo
Aliyasema hayo kupitia kikao cha afya ya msingi kilichofanyika wilayani humo kwa kuhusiha viongozi wa dini , wazee maalfu pamoja na wakuu wa idara na kusisiza zoez hilo kufanyika kwa weredi na kuwafikia watoto wote ili kuendana na malengo ya serikali
Awali
akiongea kupitia kikao hicho Mganga mkuu wa wilaya hiyo Dkt Emanuel Mhanda
alisema kikao hicho kimelenga kutoa
elimu kwa viongozi wa dini kutokana na
kuwa na uwezo wa kuifikia jamii kwa urahisi zaidi na kwamba zoezi hilo
Comments
Post a Comment