Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera, Profesa. Faustin
Kamuzora, akisisitiza jambo kwa
Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Atupele Mwakibete (kulia), wakati Naibu
Waziri huyo alipotembelea kiwanja cha Ndege cha Bukoba, Mkoani Kagera. Kushoto
ni Kaimu Meneja wa Kiwanja hicho Bi. Cecilia Kamwela.
Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Atupele Mwakibete, akizungumza na Katibu
Tawala wa Mkoa wa Kagera, Profesa. Faustin Kamuzora na Kaimu Meneja wa Kiwanja hicho Bi. Cecilia
Kamwela wakati Naibu Waziri huyo alipotembelea kiwanja cha Ndege cha Bukoba,
Mkoani Kagera.
Kaimu Meneja wa Kiwanja
hicho Bi. Cecilia Kamwela, akieleza kwa Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi,
Atupele Mwakibete, maboresho mbalimbali yaliyofanyika katika jengo la abiria
katika Kiwanja cha Ndege hicho, wakati Naibu Waziri huyo alipotembelea kiwanja
hicho, Mkoani Kagera.
Naibu Waziri wa UJenzi na Uchukuzi, Atupele Mwakibete, akiangalia akikagua
jengo la abiria katika Kiwanja cha Ndege Bukoba wakati alipotembelea kiwanja hicho,
Mkoani Kagera. Kushoto ni Kaimu Meneja wa Kiwanja hicho Bi. Cecilia Kamwela.
Kaimu Meneja wa Kiwanja hicho Bi. Cecilia Kamwela, akitoa taarifa kwa
Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Atupele Mwakibete, kuhsu utendaji wa
Kiwanja cha Ndege cha Bukoba hicho, wakati Naibu Waziri huyo alipotembelea
kiwanja hicho, Mkoani Kagera.
Naibu Waziri wa UJenzi na Uchukuzi, Atupele Mwakibete, akitoa maelekezo
kwa menejimenti na watumishi wa Kiwanja cha Ndege cha Bukoba wakati
alipotembelea kiwanja hicho, Mkoani Kagera.
Comments
Post a Comment