Bunge lamuidhinisha Dkt. Philip Isdor Mpango kuwa makamu wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Rais Samia Suluhu Hassan alimpendekeza Philip Mpango kuwa makamu
wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Jina hilo liliwasilishwa bungeni asubuhi ya Jumanne na mpambe wa
rais katika bahasha maalum.
Baada ya kupokea jina lake, Spika Job Ndugai alilitangazia bunge
jina hilo lililopendekezwa na Rais Samia.
Spika Ndugai alilitangazia
bunge hilo kuwa Dkt mpango amechaguliwa kwa kura 363 na baada ya kuchaguliwa
kwa asilimia100%
Comments
Post a Comment