Mbunge Irene Ndyamukama akabidhi kiasi cha Shilingi milion moja (1000000/=) kusadia kupinga matukio ya ukatili
Mbunge
wa viti maalumu mkoani Rukwa Irene Ndyamukama amekabidhi fedha kiasi cha shilling
million moja (1000000/=) kwenye idara ya
maendeleo ya jamii katika Manispaa ya Sumbawanga mkoani humo ili iwasaidie
kufika maeneo yasiyo fikika kirahisi na kutoa elimu kwa wanachi juu
ya kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto.
Comments
Post a Comment