Ni safari ya mwisho ya Hayati Rais John Pombe Magufuli , amelazwa katika nyumba yake ya milele.
Amezikwa kwa
taratibu zote za kijeshi ambazo anapaswa kupatiwa Amiri Jeshi Mkuu.
Mizinga 21
imepigwa ikiashiria heshima kubwa kwa kiongozi huyu.
Hayati Magufuli amezikwa katika eneo la makaburi ya familia mjini chato , mkoani geita.
Watu wa karibu
na familia pamoja na viongozi ndio wameshiriki moja kwa moja katika mazishi
haya kwa kufika Geita na wengine kufuatilia moja kwa moja kwenye matangazo ya
Televisheni.
Comments
Post a Comment