Bunge la Tanzania limemuidhinisha, Mbunge wa Ruagwa Kassim
Majaliwa kwa wadhifa wa Uwaziri Mkuu.
Majaliwa amepata kura za wabunge wote 350 waliopiga kura , sawa
na 100%.
Amemshukuru Rais Magufuli kwa kumuamini kwa miaka mitano
iliyopita na kumpa tena nafasi nyingine.
Comments
Post a Comment