Timu ya Tanzania Prison
kutoka mkoani Rukwa inategemea kukutana na timu ya Simba Sc 22 oktoba 2020 huku
mashabiki wakitakiwa kuondoa tofauti za kishabiki na kujitokeza kwa wingi
kuiunga mkono timu ya Tanzania Prisoni.
Baadhi ya wachezaji wa
timu ya Tanzania prisoni wamesema watahakikisha
wanashinda katika mchezo huo na kuwataka wananchi kujitokeza ili
kuipanguvu timu yao.
Comments
Post a Comment