Chama
cha Ukombozi wa Umma( CHAUMA) kimezindua rasmi kampeni zake leo na kuahidi
kuhakikisha wanashughulikia mpango wa watoto kupata chakula mara tu watapoingia
madarakani.
Mgombea
wa nafasi ya Urais wa chama hicho, Hashim Rungwe alipokuwa akinadi sera zake na
kusema kipaumbele chake ni mpango wa watoto kupata chakula.
Comments
Post a Comment