Na Baraka Lusajo. Kalambo.
Wadau
kutoka asasi zisizo kuwa za kiserikali zinazohusika na maswala ya ukatili wa
kijinsia mkoani Rukwa wamelalamikia kitendo cha
baadhi ya wachungaji na watumishi
wengine wa mungu kuto pima afya
za waumini wao pindi wanapofunga ndoa na hivyo kupelekea kujitokeza migongano
ya kifamilia kutokana na baadhi yao kukutwa na mambukizi ya virusi vya ukimwi.
Katika picha ni washiriki wa mafunzo ya ukatili wa kijinsia. |
Kumekwepo
na mamalamiko kutoka kwa wananchi mkoani Rukwa juu ya kujitokeza kwa migogoro
ya kifamilia ambayo imekuwa ikisababishwa na baadhi ya wachungaji na watumishi
wengine wa mungu kudaiwa kuto wapima wanandoa hao kabla ya kufungishwa ndoa .
Hali
hiyo imepelekea wadau wanaohusika na maswala ya ukatili wa kijinsia na mila
potofu kutoka Asasi ya Sumbawanga Community Development Achievement (SUCODA)
kuingilia kati swala hilo kwa kutoa elimu
kwa wachungaji,mashehe, watumishi wa serikali pamoja na watu wengine,
lengo likiwa ni kutoa elimu juu ya umuhimu wa watu kupima kabla kufunga ndoa.
‘’tumeona
ni vyema tukakaa na wachungaji ili kuwapatia mafunzo zaidi juu ya maswala ya
ukatili wa kijinsia kwani kitendo cha
mchungaji kufungisha ndoa bila kujua afya za wahusika, ni kitendo kibaya kwani kina
sababisha kuongezeka kwa magonjwa ya ukimwi.’’alisema Mwazyunga.
Afisa
maendeleo ya jamii wilayani humo Yasinta Nkyabonaki,amesema hali hiyo imekuwa
ikisabisha kuongezeka kwa mambukizi ya virusi vya ukimwi pamoja na migogoro ya
kifamilia.
Katika picha ni afisa ustawi wa jamii wilayani kalambo |
Alphonsa
Shirima afisa ustawi wa jamii wilayani humo,amesema wazazi wanawajibu wa kuwal
katika picha ni mwanasheria kutoka shirika la Sucoda. |
Kwa upande wake mwanasheria kutoka Asas
isiyokuwa ya kiserikali ya SUCODA Jonas
‘’niwasihi wachungaji kujenga
mazoea ya kupima afya za waumini wao hususani wale ambao wanaokuwa kwenye harakati za kuoa ama kuolewa kwa lengo
la kupunguza kasi ya mambukizi ya ukimwi.alisema Chidowi.
Kwa
upande wake mchungaji kutoka kanisa la Moravian katika wilaya ya Kalambo Tedysoni
Nzalamwe, amesema changamoto kubwa imekuwa
ikijitokeza kutokana na taarifa feki kutoka kwa wanandoa wenyewe ambazo zimekuwa zikisababisha wao kuingia kwenye migogoro.
0746248872.
Comments
Post a Comment