Waziri wa nishati Dkt.Medadi
karemani ameanza ziara yake ya kuzindua miradi ya umeme katika maeneo mbalimbali mkoani Rukwa, ambapo kesho Agost 27 anategemea
kuzindua mradi wa umeme katika kijiji cha myunga wilayani kalambo.
Hata hivyo akiwa wilayani Nkasi
mapema Agost 26 amezindua mradi wa maji katika vijiji vya Mkomolo na karungu
wilayani humo na kuwagiza wakandasi wanaoendelea kutekeleza usambazaji wa miradi
hiyo mkoani hapa kusambaza umeme bila kuacha nyumba hata moja na kufIkia
disember 2019 wawe wamekamilisha zoezi hilo.
Comments
Post a Comment