katika picha ni John Mbala mmoja wa wawezeshaji kutoka shirika Bethania akitoa elimu kwa wanananchi wilayani kalambo |
Shirika la Future and hope-Bethania homes – Sumbawanga limeanza rasmi mpango wa kutoa elimu ya utatuzi wa migogoro katika familia,haki na wajibu wa watoto ,makuzi na malezi ya mtoto katika wilaya ya kalambo mkoani Rukwa na huku lilikisistiza zaidi wazazi na walezi kuwalea watoto wao katika mazingira mazuri.
KATIKA PICHA NI BAADHI YA WANANCHI WAKIPATIWA ELIMU |
Comments
Post a Comment